1
Alikunja kipaji na akageuka,
2
Kwa sababu alimjia kipofu!
3
Na nini kitakujuulisha pengine yeye atatakasika?
4
Au atawaidhika, na mawaidha yamfae?
5
Ama ajionaye hana haja,
6
Wewe ndio unamshughulikia?
7
Na si juu yako kama hakutakasika.
8
Ama anaye kujia kwa juhudi,
11
Sivyo hivyo! Huku ni kukumbushana.
12
Basi anaye penda akumbuke.
13
Yamo katika kurasa zilizo hishimiwa,
14
Zilizo inuliwa, zilizo takaswa.
15
Zimo mikononi mwa Malaika waandishi,
17
Ameangamia mwanaadamu! Nini kinacho mkufurisha?
18
Kwa kitu gani amemuumba?
19
Kwa tone la manii, akamuumba na akamkadiria.
20
Kisha akamsahilishia njia.
21
Kisha akamfisha, akamtia kaburini.
22
Kisha apendapo atamfufua.
23
La! Hajamaliza aliyo muamuru.
24
Hebu mtu na atazame chakula chake.
25
Hakika Sisi tumemimina maji kwa nguvu,
26
Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,
27
Kisha tukaotesha humo nafaka,
28
Na zabibu, na mimea ya majani,
29
Na mizaituni, na mitende,
30
Na bustani zenye miti iliyo songana baraabara,
Sonraki 12 ayet →